ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Friday, 7 July 2017

NAIBU WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI NA BALOZI WA KENYA WATEMBELEA BANDA LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA KATIKA VIWANJA NYA SABASABA



Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. Mh. Angelina Mabula akisini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonesho ya 41 ya  sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.

Afisa Mauzo Mwandamizi Joseph Haule akitoa maelezo kwa Mh. Angelina Mabula Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. alipotembelea banda la NHC.
    Afisa Mauzo Mwandamizi Joseph Haule akimkaribisha Dr. Pindi Chana, Balozi wa Kenya alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonesho ya 41 ya  sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.


 wananchi Mbalimbali wakipata maelezo kutoka kwa Jonson, Afisa mauzo wa Shirika la Nyumba la Taifa












No comments:

Post a Comment