ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Monday, 10 July 2017

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI MH.WILLIAM LUKUVI ATEMBELEA BANDA LA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. Mh. William Lukuvi akiongozana na Meneja Masoko Tuntufye Mwambusi  alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonesho ya 41 ya  sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.

 Meneja Masoko Tuntufye Mwambusi  akimsikiliza Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. Mh. William Lukuvi alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonesho ya 41 ya  sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.


 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya Makazi. Mh. William Lukuvi akisini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Shirika la Nyumba la Taifa katika maonesho ya 41 ya  sabasaba viwanja vya Mwl. Nyerere.


Wananchi mbalimbali wakiwa katika banda la Shirika la Nyumba la Taifa

Afisa Masoko Mwandamizi Emmanuel Lyimo akitoa maelezo ya mirada inayotekelezwa na Shirika la Nyumba

Afisa Mauzo Mwandamizi Joseph Haule akitoa maelezo kwa Wananchi waliotembelea banda la NHC katika viwanja vya sabasaba


No comments:

Post a Comment