ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Friday, 22 September 2017

BODI YA WAKURUGEZI YA SHIRIKA LA NYUMBA LA ZANZIBAR YATEMBELEA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA NHC.

 Bodi ya Wakurugenzi kutoka Shirika la Nyumba la Zanzibar, wakipata maelezo kutoka kwa wakurugenzi wa Shirika la nyumba la Taifa.wa namna mfumo  wa Shirika la nyumba la Taifa ulivyo

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi NHC. Blandina Nyoni akitoa Neno la ukaribisho kwa Bodi ya Shirika la Nyumba Zanzibar

 Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Zanzibar Ndg Mtoro Almas, akiwakilisha kusudio lao la ziara yao katika Shirika la Nyumba la Taifa NHC.

 Mkurugenzi wa Ubunifu,  Issack Peter akiwasilisha Maada ya namna Shirika la Nyumba la Taifa linavyofanya kazi zake za ujenzi kwa mafanikio na weledi



 Nehemia Mchechu Mkurugenzi Mkuu  wa Shirika la Nyumba la Taifa akieleza namna anavyoliongoza shirika kwa Mafanikio kwa kushirikiana na wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa.

 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma na Huduma kwa Jamii Susan Omari yeye aliongelea Maadili yetu 6 tuliyojiwekea kama Shirika ambayo ni Uadilifu,Uwazi,Ubunifu,ufanisi,ushilikiano na Weledi.pamoja na  mahusiano yetu kwa Umma.

Raymond Mdolwa Mkurugenzi wa Opalesheni na Usimamizi wa Mikoa, akiongelea Mfumo wa usimamizi wa Nyumba za kupangishwa na utambunzi wa Nyumba hizo pamoja na usimamizi wa lasirimali zote za Shirika la Nyumba la Taifa.

 Felix Maagi Mkurugenzi Wa Fedha Akieleza namna Shirika la nyumba linanvyojiendesha kifedha na   upatikanaji wa fedha za ujenzi wa miladi mbalimbali.


Mradi wa Nyumba za Makazi na Biashara wa Victoria Plance.



 Wajumbe wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Zanzibar wakifurahia jambo walipokuwa wakipewa maelezo ya mradi na wasimamizi wa mradi huo wa Victoria Plance .


 Hapa Wajumbe wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Zanzibar, wakiwasili katika Mradi wa Morocco Square







No comments:

Post a Comment