ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Saturday, 9 September 2017

WAZIRI LUKUVI AZINDUA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NHC CHATO




Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akiwasili eneo la mradi wa Nyumba za NHC Chato. Mradi una Nyumba 20 zenye Nyumba vitatu kila moja.

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akimzawadia Mchenza Ngoma ya Kisukuma katika hafla hiyo ya Ufunguzi wa Nyumba 20 wilayani Chato





 Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Kyando Mchechu akiwahutubia wananchi wakati wa Uzinduzi.

 Waziri Lukuvi akishereheka kwa pamoja na wananchi wa Chato alipowasili eneo la mradi.

 Waziri Lukuvi akifungua kitambaa kwenye Jiwe la Msingi kuashilia ufunguzi wa Mradi wa Nyumba 20 zilizojengwa na NHC  Wilayani chato.
 Waziri Lukuvi akikata utepe katika moja ya nyumba 20 zilizongwa na NHC Wilayani Chato. 




 Mradi wa Nyumba za NHC Chato. Mradi una Nyumba 20 zenye Nyumba vitatu kila moja













No comments:

Post a Comment