ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Monday, 26 November 2018

NHC YASHIRIKI MATEMBEZI YA HISANI YA KILOMITA TANO

Matembezi ya Hisani ya kilomita tano (5) ya Kusanyiko la Waliowahi kuhitimu na wanaokitakia mema Chuo Kikuu cha Ardhi yalifanyika tarehe 24/11/2018 (Jumamosi)  matembezi yalianza saa kumi na mbili asubuhi kwenye jengo la utawala la Chuo Kikuu Ardhi hadi Container na Dispensary Chuo kikuu DSM na kurudi ARU Washiriki kutoka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) walishiriki kikamilifu  wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu Dkt. Maulidi Banyani. mara baada ya matembezi hayo kulifanyika mazoezi ya viongo pamoja na michezo mbalimbali. Mkurugenzi Mkuu Dkt. Maulidi Banyani akatoa agizo kwa kitengo cha Utawara waandae mkakati utakao pelekea kila wiki ya mwisho wa mwezi kuwe utaratibu wa kufanaya  mazoezi na matembezi ya namna hii  na  yatakuwa ni lazima kila mwezi mara moja na itaitishwa roll call ili kuhakikisha ushiriki na kuimarisha afya za wafanyakazi.
Mazoezi ni Afya, furaha na hujenga pia umoja.
Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakiwa katika Matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.

Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakiwa katika Matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.

Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakiwa katika Matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.

Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakiwa katika Matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi

Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakiwa katika Matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi

Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakifanya mazoezi ya viungo mara baada ya matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.

Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakifanya mazoezi ya viungo mara baada ya matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.
Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakifanya mazoezi ya viungo mara baada ya matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi


Wadau mbalimbali pamoja na wafanyakazi wa NHC wakifanya mazoezi ya viungo mara baada ya matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.




Katibu Mkuu Ikulu Dkt. Moses Kusiluka katikati Mwenyekiti wa Bodi Dkt Sophia Kongela, Mkurugenzi Mkuu Dkt. Maulidi Banyani, wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NHC walioshiriki katika matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.





Mkurugenzi Mkuu NHC Dkt. Maulidi Banyani pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa NHC wakiwa katika picha ya pamoja na aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu NHC Ndg. Haruna Masebu


Shindano la kuvuta kamba kati ya NHC na wadau wa Chuo kikuu Ardhi katika shindano Chuo kikuu Ardhi walishinda.

Shindano la Mbio mita 100 umri kuazia 40 - 60 ambapo Ndgu Sam Metili wa NHC alishinda akifatiwa na Albinus Simba 
Mkurugenzi Mkuu Dkt. Maulidi Banyani pia alishiliki mbio hizo
upande wa kinadada mbio mita 100 alishinda  Allana Ngonyani akifatiwa na Mwasiti Jimmy wote kutoka NHC

                     Shindano la kula Apple 






Mkurugenzi Mkuu Dkt. Maulidi Banyani akipokea Kombe la Mshiriki bora wa matembezi ya hisani ya kilomita tano ya kusanyiko la waliowahi kuhitimu Chuo Kikuu Ardhi.



Kikosi cha Ushindi

No comments:

Post a Comment