ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Monday, 19 November 2018

MKUU WA WILAYA YA KISARAWE, MHE. JOKATE MWEGELO ATEMBELEA OFISI ZA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA



katika ziara hiyo, Mhe Jokate ameliomba Shirika la Nyumba la Taifa waingie  makubaliano ya kuwajengea Nyumba kwa ajili ya 
wafanyakazi wa Wilaya hiyo ya Kisarawe kwani kumekuwa na changamoto ya makazi  kwa watumishi wa wilaya ya kisarawe. 
Pia ameliomba Shirika la Nyumba la Taifa kwenda katika  wilaya ya kisarawe  kuangalia maeneo ambayo shirika linaweza kuwekeza katika Majengo ya biashara.

Mkurugenzi Mkuu wa NHC Dkt. Maulidi Banyani akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe. Jokate Mwegelo alipotembelea ofisini kwake. 


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe. Jokate Mwegelo  akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisini kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Dkt. Maulidi Banyani.


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe. Jokate Mwegelo  akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika ofisini kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC.




 Mhe. Jokate Mwegelo 
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, akiondoka katika Jengo la Kambarage House Makao makuu ya Shirika la Nyumba la Taifa.

No comments:

Post a Comment