ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Thursday, 4 October 2018

KAIMU MKURUGENZI AAGIZA MATENGENEZO YA NYUMBA ZA SHIRIKA KUPEWA KIPAUMBELE, UMAKINI

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza na Mameneja wa Mikoa ya NHC nchi nzima ambao wapo jijini Dar es Salaam kwaajili ya mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.
 Wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi aliyezungumza nao kwenye mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.


Wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi aliyezungumza nao kwenye mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.


Wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi aliyezungumza nao kwenye mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.

No comments:

Post a Comment