Wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi aliyezungumza nao kwenye mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.
Wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi aliyezungumza nao kwenye mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.
Wajumbe wa mkutano huo wakifuatilia kwa karibu maelekezo ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi aliyezungumza nao kwenye mkutano wa kawaida na Mkurugenzi kuhusu masuala mbalimbali ya matengenezo na uendeshaji wa shughuli mbalimbali za kiofisi mikoani. Mkutano huo unafanyika makao makuu ya Shirika Kambarage House.
No comments:
Post a Comment