ON POINT MEDIA

ON POINT MEDIA
Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA

SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU

Friday, 22 July 2016

ZIARA YA MKURUGENZI MKUU WA NHC BW.NEHEMIA MCHECHU WILAYA YA RUANGWA



Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akisaini kitabu cha wangeni ofisini kwa Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh. Joseph Mkirikiti 




 Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh. Joseph Mkirikiti akiongea na viongozi wa Shirika la nyumba waliofanya ziara katika wilaya hiyo kwa leongo la kutaka kujenga nyumba za makazi na biashara



 Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh. Joseph Mkirikiti na Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu pamoja na Meneja wa NHC Lindi Ndg. Patrick kamendu wakifurahia jambo nje ya ofisi ya Mkuu wa wilaya.



Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akiongea jambo walipotembelea nyumba za NHC Ruangwa 


             Nyumba za NHC zilizopangishwa kwa watumishi wa Halimashauri ya Ruangwa



  Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mh. Joseph Mkirikiti aliwakalibisha wageni wake wa NHC kwenye Ikulu Ndogo ya Wilaya ya Ruangwa


Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu na Meneja wa Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu NHC Bw. Muungano Saguya wakielekea kuona moja ya eneo lilonunuliwa kw ajillo ya ujenzi wa nyumba wilayani Ruangwa



 

Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akisaini kitabu cha wangeni alipotembelea Mradi wa Nyumba za Mtanda Lindi




Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akiangalia moja ya Nyumba zilizojengwa na NHC Mkoani Lindi

No comments:

Post a Comment