Alipofanya mahojiano mwezi wa nne mwaka huu, D’banj aliapa kuwa akioa basi ndoa yange itafungwa kimya kimya kama ambavyo inadaiwa amefanya.
Staa huyo wa Nigeria amefunga na ndoa na mpenzi wake ambaye jina alijajulikana lakini ana asili ya Afrika kusini na Nigeria na anaishi Marekani jumamosi iliyopita, tarehe 2 ya mwezi July.
Taarifa hizo zimedai kuwa Koko Master aliwaalika wazazi wake na watu wengine 25 tu, imedaiwa kuwa waalikwa wenyewe walijua ni birthday party.
Ama kweli siku hizi mambo ni kimya kimya.
Staa huyo wa Nigeria amefunga na ndoa na mpenzi wake ambaye jina alijajulikana lakini ana asili ya Afrika kusini na Nigeria na anaishi Marekani jumamosi iliyopita, tarehe 2 ya mwezi July.
Taarifa hizo zimedai kuwa Koko Master aliwaalika wazazi wake na watu wengine 25 tu, imedaiwa kuwa waalikwa wenyewe walijua ni birthday party.
Ama kweli siku hizi mambo ni kimya kimya.

No comments:
Post a Comment