Karibuni sana kwa kazi nzuri ya video za harusi mikutano na kadharika
SHIRKA LA NYUMBA LA TAIFA
NYUMBA YANGU MAISHA YANGU
Monday, 4 July 2016
Rais Paul Kagame: Nikiwa Tanzania najisikia nipo Nyumbani, HAPA KAZI TU - Tuendelee na kazi
Raisi wa Rwanda mh. Paul Kagame akihutubia katika maonyesho ya sabasaba amesema muda wote anapokua Tanzania anajisikia yupo nyumbani na kusema sera ya hapa kazi tu na kuongeza kuwa tuendelee na kazi.
No comments:
Post a Comment